MTUME NYAGA HR

AGALIA EMMANUEL TV LIVE [WATCH EMMANUEL TV LIVE]

Jumatano, 21 Mei 2014

REV. DR. LUCY NATASHA FROM KENYA TO PREACH THE WORD OF GOD AT RGC MIRACLE CENTER -DAR ES SALAAM, TANZANIA

Biography

The body of Christ received a gift from God when Reverend Dr. Lucy Natasha was born. She is an Oracle of God, an apostle of grace, a passionate revivalist and a prophet of hope.  A courageous missionary to the nations, an ambassador of Christ and a great Kenyan patriot.
She is an anointed servant of the Lord. She received the Lord Jesus as her personal savior at an early age, growing up in a Christian home she learned how to worship and praise God, from a young and tender beginning. She is the living epitome of the scripture, “Train up the child in the way he should grow so when he is old he will not depart. Proverbs 22:6. Having grown up in a Christian family with a deep foundation of the word & fear of God, this formed a very strong foundation of her ministry.

She started preaching when she was in primary school at the age of nine years. The Lord used her greatly as she preached at children crusades, youth meetings, high school rallies, Sunday services and open air meetings. The call of God in her has never gone unnoticed from an early age. God has always set her as a Christian Organization Leader in all ages & stages of her life. God used her in all this institutions in a tremendous way that marked a mighty move of God that had never been witnessed in schools, leaving a legacy that still lingers in students & teachers minds to today. 
 
She credits her strong prayer life to the godly influence of her biological mother Rev. Esther Wanjiru who is a fervent intercessor and Pastor. It’s by divine appointment that she followed into the footsteps of her mother. From humble beginnings, her life and ministry has grown from level to level, seeing people transformed by the power of God. “Impacting and life changing” describes the ministry God has graced Rev Natasha. She is a woman of distinction, endowed with a caring and natural love for the hurting, broken and downtrodden.
 
She is the founder and visionary of Prophetic latter glory Ministries International an interdenominational outreach ministry that holds conferences, revivals and seminars around Africa. Rev Natasha is much sought after conference speaker and has been a guest speaker in numerous national and international Christian conventions. Her deep insight into God’s word and the uniqueness of her ministry






SIKILIZA MAHUBIRI YAKE




Jumapili, 18 Mei 2014

MTUME PETER KWA MSAADA WA MUNGU AFANYA MAKUU KATIKA KANISA LA RGC TABATA CHANG'OMBE


Mungu wetu ni Mungu wa huruma na upendo. Tunamwabudu kwasababu tunaona matunda kutoka kwake. Mungu amekuwa faraja kwetu, na anatusaidia katika mengi. Tunamshukuru Mungu katika ibada hii watu waliweza kusikia ujumbe wa Mungu kwa kupitia mtumishi wake Mtume Peter Nyaga. Watu waliweza kupokea kile walichokuwa wanakihitaji na wale ambao hawakupokea siku basi tunaamini Mungu atakwenda kuwapatia. Waliofungwa na nguvu za giza walifunguliwa. Ndugu yangu usiwaze wala kutamani kukosa nyumba hii ya Bwana kwani kuna uzima na faraja ndani ya nyumba hii.

Kanisa letu liko Tabata Chang'ombe linaitwa RGC Miracle Center






Jumanne, 13 Mei 2014

NABII DR. LUCY NATASHA KUTOKA KENYA KUSHUSHA WINGU LA BARAKA KATIKA KONGAMANO LA AKINA MAMA NA MABINTI KATIKA KANISA LA RGC TABATA CHANG'OMBE - DSM TANZANIA

Watanzania umefika wakati wa kubanan kwa Yesu Kristo katika kanisa la RGC Tabata Chang'ome kwa Mtume anayetikisa hapa mjini Mtume Peter Nyaga. Mungu ameamua kuongea na akina mama na mabinti katika kongamano litakaloongozwa na watumishi wa Mungu wapatao nane wakivamia madhabahu moja huku wakitumia MIC moja siku hiyo.

Kilichonifurahisha ni pale Nabii mrembo aliyeumbika vizuri kwa kazi ya Mungu kutoka Kenya Nabii Dr. Lucy Natasha ambaye amehubiri sehemu nyingi sana duniani. Nabii huyu amepewa kazi na Mungu ya kuwaleta kuwakomboa waliopotea na kuhakikisha waliokombolewa wanaziidi kufurahi ukombozi wao mpaka siku ile ya mwisho. Jukumu lake ni kuhakikisha anafanya kila awezalo kumtukuza Mungu wetu na kutagaza habari njema za Mungu.


Nabii Dr. Lucy Natasha (Kenya)

Usikose kabisa mwana wa Mungu katika kongamano hili lenye waimbaji zaidi ya kumi kuvamii madhabahu moja kwaajili yako wewe UBARIKIWE. Mtaarifu na jamaa yako ili siku hiyo ashuhudie ishara na miujiza ya BWANA..

Mtume Peter Nyaga na mke wa Mchungaji Anna Nyaga wamejipanga kabisa kuhakikisha huu ugeni utakaofika katika kanisa lake utakuwa salama. Na eneo la kanisa lake kuzungukwa na nguvu za Mungu zitakazokuhamisha wewe katika mazingira uliyozoea na kuingia katika mazingira mengine tofauti.

Waimbaji kama Sarah Mvungi, Madam Ruti, Masanja Mkandamizaji, Mess Jacob Chengula, Martha Mwaipaja, Neema Gasper na wengine wengi watahakikisha kazi ya BWANA wetu YESU KRISTO inajidhihirisha kwako wewe utakayefika siku hiyo.


Tangazo limetengezwa na Rumafrica +255 715 851523

MTUME PETER NYAGA AZAWADIWA MBUZI ZA NGUVU BAADA YA KUMALIZA MKUTANO MOROGORO

Kwa Yesu kuna raha ya ajabu. Ukifanya kazi ya Mungu kwa uaminifu, Mungu aweza kukushangaza kwa muujiza wa ajabu sana. Waweza kufanya kazi ya Mungu bila ya kutegemea kupata kitu, lakini Mungu aweza kumtumia mtu au kitu chochote kukupongeza. Unapofanya kazi ya Mungu usifanye kama unafanya biashara, ila fanya kazi ya Mungu kama vile unapofanya kazi za ndugu yako.

Hii imemtokea Mtume Peter Nyaga baada ya kufanya kazi ya Mungu kwa uaminifu mkoani Morogoro, mkutano ulioandaliwa na Mwinjilisti Jailos Maloda, Mungu aliweza kuwatumia maasai ambao walijitokeza na kusema wamebarikiwa sana na mahubiri yake na hii iliwafanya watoe mbuzi za nguvu kama zwadi kwake.

Kwa kupitia ushuhuda huu unajifunza nini mtu wa Mungu?  Mtume Peter Nyaga wakati anatokea Dar es Salaam hakutegemea kupokea mbuzi lakini baada ya kumaliza kazi ya Mungu aliweza kupokea ujira wake. Nachotaka kusema kwako ni kwamba, FANYA KAZI YA MUNGU KWA UAMINIFU NA JITAHIDI KUWA MWAMINIFU KWA KUFUATA AMRI KUMI ZA MUNGU







Tangazo limetegenezwa na Rumafrica +255 715 8515123

Jumanne, 29 Aprili 2014

SIKU YA NNE: MWINJILISTI JAILOS MALODA NA MTUME PETER NYAGA KATIKA KAULI MBIU YAO YA "MOROGORO YOTE KWA YESU" YALETA MATUNDA SIKU YA JUMATATU

Watu wamemiminika kama mvua katika mkutano unaoendelea katika viwanja vya K/Ndege mkoani Morogoro siku ya Jumatatu. Watu wamefika pale mapema sana kupokea ujumbe wa Yesu Kristo kwa kupitia watumishi hawa wawili yaani mwinjilisti Jailos Maloda wa Morogoro na Mtume Peter Nyaga wa kanisa la RGC Tabata Dar es Salaam. Idadi ya watu waliokoka kwa makadilio inasemekana ni kama watu 200 waliofika mbele ya jukwaa na kuungama dhambi zao mbele ya maelfu ya watu na kukiri kuwa walikuwa wakosaji na sasa wameyakabidhi maisha yao kwa Bwana Yesu Kristo.

Katika kutano huu kulikiwa na waimbaji mbalimbali kama vile Masanja Mkandamizaji, Mess Jacob Chengula, Joshua Makondeko na wengine weni ambao kwa kupitia karama zao za uimbaji waliweza kugeuza mioyo ya watu na wakampokea Bwana Yesu Kristo siku hii ya Jumatatu










 Mtume Peter Nyaga akisalimiana na mwimbaji wa nyimbo za injili Joshua Makondeko




 Mtume Peter Nyaga akisalimiana na Masanja Mkandamizaji


 Mtume Peter Nyaga (kushoto) akiwa na Mess Jacob Chengula
 Mess Jacob Chengula akijiweka sawa kwa kazi ya Mungu kwa njia ya uimbaji

 Msanja Mkandamizaji akiwaleta watu wa Mungu kwa Bwana Yesu kwa njia ya uimbaji


"MOROGORO YOTE KWA YESU" YAZIDI KULETA MATUNDA MAKUBWA KWA KUPITIA MTUME PETER NYAGA NA MWINJILIST JAILOS MALODA MKOANI MORORGORO

Watu zaidi 200 wachia maisha yao kwa Yesu Kristo baada ya kupata ujumbe wa Mungu kwa kupitia watumishi wake wanaofanya kazi ya Mungu kama punda katika mkoa wa Mororgoro. Kama kauli mbiu inavyosema, Morogoro Yote kwa Yesu, watumishi hawa kwa msaada wa Mungu wamejipanga watu wote wa mkoa wa Mororgoro kuokoka,



Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...