MTUME NYAGA HR

AGALIA EMMANUEL TV LIVE [WATCH EMMANUEL TV LIVE]

Alhamisi, 18 Julai 2013

KITABU CHA NGUVU YA PESA NA UTAJIRI CHAWA LULU NA KUGOMBANIWA NA WALIO WENGI JIJINI DAR

Mamia wapigana vikumbo kukigombea , wakiri kitawafikisha mbali
Siku chache baada ya kuchapishwa kitabu kipya kilichoandikwa na Mtume Peter Nyaga, maelfu ya watu wamekuwa wakipiga simu kukiulizia. Kitabu hicho kiitwacho Nguvu ya Pesa na Utajiri kwa njia ya Neno la Mungu na Ujasiriamali, wiki iliyopita mamia ya watu walipigana vikumbo kukigombea wakati kilipotambulisha rasmi na kuwekwa wakfu kanisani hapo.

Kwa mujibu wa Mtume Nyaga, kitabu hicho kimesheheni utajiri mkubwa wa Neno la Mungu na mbinu mbalimbali za ujasiriamali ambazo endapo zitatendewa kazi ipasavyo zitaleta ukombozi mkubwa kwa waumini, kanisa na jamii kwa ujumla.

Mtume Nyaga, alisema kitabu hicho kinatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni, lengo likiwa ni kuwafikia watu milioni moja kwa muda mfupi . Aliwataka watu wanaopenda kukiuza na wasomaji wanaohitaji nakala, kuwasiliana naye kwa +255 713 937805 au wafike kanisani RGC Miracle Centre Tabata Chang’ombe jijini Dar es Salaam.

YALIYOMO KATIKA KITABU HIKI:


SURA YA KWANZA
Ahadi za Mungu za kumiliki fedha na utajiri.
Umuhimu wa kufanya biashara na miradi mbalimbali.
Jinsi ya kuchagua miradi au biashara ya kufanya.
Jinsi ya kupata mtaji wa biashara.
Jinsi ya kuondoa vikwazo vya mafanikio katika biashara.
SURA YA PILI
Jinsi shetani asivyopenda tustawi.
SURA YA TATU
Ahadi (8) za Mungu kwa wanaomtolea sadaka.
Faida za kutoa fungu la kumi.
Sadaka ya shukrani.
Baraka (4) za kuwahudumia watumishi wa Mungu.
SURA YA NNE
Uaminifu katika masuala ya fedha.
SURA  YA TANO
Sifa (25) za mjasiria mali na mfanya biashara.
Jinsi ya kufanya biashara kwa mafanikio.
SURA YA SITA
Utengenezaji wa bidhaa mbalimbali.
·         Utiaji rangi kwenye vitambaa.
·         Utengenezaji  wa aina mbalimbali za batiki.
·         Utengenezaji wa sabuni.
(i)                  Sabuni za miche.
(ii)                Sabuni  ya maji, vyombo na kufulia.
(iii)               Sabuni ya kusafisha vyoo.
(iv)              Dawa ya kuondoa madoa.
(v)                Dawa ya kusafisha marumaru.
-          Utengenezaji wa jik.
-          Unga wa lishe na tambi za dengu.
-          Mshumaa na chaki.
-          Mkaa wa karatasi.
-          Siagi ya karanga.
SURA YA SABA
 UFUGAJI BORA NA WA KISASA WA KUKU
Faida za ufugaji wa kuku.
Njia bora za kuongeza kipato kwa kutumia ufugaji  wa kuku wa  kienyeji  kwa njia za kisasa.


SIKU 6 ZA OPARESHENI FAGIA UCHAWI, MAPEPO NA MAJINI
Na unabii wa mtu mmoja mmoja
 Kanisa la RGC Miracle Centre Tabata Chang’ombe jijini Dar es Salaam, limekuandalia maombi na  maombezi ya siku 6 ya mtu mmoja mmoja kuanzia Jumanne tarehe 23/ hadi Jumapili tarehe 28/7/2013 saa mbilii asubuhi hadi saa nane mchana. Maombi hayo maalum yatashughulikia kuvunja roho zifuatazo:
  • -          Roho za zinazozuia mafanikio ya watu
  • -          Roho zinazofunga tumbo kuzaa
  • -          Roho zinazozuia kuoa na kuolewa
  • -          Roho zinazofunga kupatikana kwa ajira
  • -          Roho zinazosababisha ukate tamaa kutokana na ugumu wa maisha
  • -          Roho za kuota ndoto mbaya kama vile kukimbizwa na nyoka na wanyama wengine hatari
  • -          Majini mahaba yanayosababisha ndoa kuvunjika
  • -          Roho zinazosababisha usikubalike kila mahali unapopita
  • -          Roho zinazoharibu masomo na biashara na nguvu zote za giza.
Kwa mawasiliano, maombi na ushauri +255 713 937805 au
fika kanisani RGC Miracle Centre Tabata Chang’ombe jijini Dar es Salaam.
 Wote mnakaribishwa

DVD YA MITUME 7 NA WAIMBAJI WA KIMATAIFA IMEKUUJIA SASA!!

DVD za kongamano la Mitume saba lilifanyika RGC Tabata Chang'ombe kwa Mtume Peter Nyaga zinapatikana kwa Tshs. 7, 000. Utapata kusikia Ujumbe wa mitume wafuatao:
Mtume Peter Nyaga, Mtume Onesmo Ndegi, Mtume Nyarusi, Mtume Munene, Mtume Dk. Vernon Ferdnandes wa AGAPE, Mtume Dk. Livingstone, Mtume Dk. Prosper Nteba, Nabii Joshua kutoka Afrika Kusini, Mtume Tumba kutoka Kenya na wengine wengi.

Pia utapata kusikia nyimbo za waimbaji kama vile: Stara Thomas, Upendo Nkone, Miriam Lukindo, Joshua Makondeko, Martin Murunga, Faith kutoka Kenya, Kwaya ya RGC Tabata Chang'ombe, Kwaya ya Kanisa la Kawe Makuti kwa Mtume Onesmo Ndegi, Ndani Frank, Kenyatta kutoka Kenya,  na wengine wengi.

USIKOSE KUWA NA HII COPY ITAKUBARIKI SANA.

Maoni 7 :

  1. DR,LUSAJO Kama unataka utajiri wa undagu au ujini kwa muda mfupi ukiwa na nia masharti ni ya kawaida sana kutokana na uwezo niliopewa na mungu maisha yako yanabadilika ndani ya muda mfupi kikubwa ni wewe kufuata masharti kwa umakini mzuri. wasiliana nami kwa namba hizi +255 754082579 TAFADHARI PIGA SIMU HUSITUME SMS KUHEPUKA UTAPELI.

    JibuFuta
  2. Utajiri wa nguvu za ujihni na ndagu JE UNAMATATIZO, (KWANINI USUMBUKE) NAITWA DR, MDIRO piga 0746796662. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU UTAJIRI NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU), NDOA, MIKOSI, MABALAA, JINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI. NIPIGIE 0746796662. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote .

    JibuFuta
  3. Maoni haya yameondolewa na mwandishi.

    JibuFuta

  4. FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI
    UTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO huu ni utajiri wa muda mfupi ambapo unapewa kwa masharti maalum ikitegemea na ndagu uliochagua KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
    (KWANINI USUMBUKE)
    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843.
    KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO

    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)

    NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE
    MIKOSI,
    MABALAA,
    JINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI. NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote

    JibuFuta
  5. PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO

    Piga simu namba 0742162843
    au barua pepe tibawahitiwahiti@gmail.com

    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.

    NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.

    JibuFuta
  6. UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI.

    (Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajiri ni hazina kutoka kwa mwenyezi Mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)


    MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM NA NAFUU KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.

    NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU

    JibuFuta
  7. SOMA HII UTAKUJA NISHUKURU

    KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.

    N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843

    HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO

    i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu

    Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao

    Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana

    ii) JAMBO LA PILI
    Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau

    Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako

    iii) JAMBO LA TATU
    ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake

    iv) UKIWA WAPATA PESA
    ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji

    v) USIMZULUMU MTU
    kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa

    vi) USIZARAH MILA
    ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema

    vii)USIWE WA NAMNA
    1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu TAWALA ZA MAJINI NA TIBA ZAKE NA NJISI YA KUWA TUMIA @highlight Following Everyone Products millard ayo TIBA ZA ASILI MAJINI NA UCHAWI 0715907487 TIBA ASILI NA NYOTA,PETE ZA MIVUTO NA MAJINI Follower sale KENYANS LIVING IN USA 🇺🇲🇬🇧

    KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K

    DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.

    JibuFuta

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...