MTUME NYAGA HR

AGALIA EMMANUEL TV LIVE [WATCH EMMANUEL TV LIVE]

Alhamisi, 25 Julai 2013

SIKU 17 ZA ISHARA, MIUJIZA, MAJABU, UNABII, USHAURI WA MTU MMOJA MMOJA KATIKA KANISA LA RGC TABATA CHANG'OMBE KWA MTUME PETER NYAGA

Kanisa la RGC Miracle Centre Tabata Chang’ombe jijini Dar es Salaam, limekuandalia maombi ya siku 17 za ishara, maajabu na miujiza itakayoambatana na unabii na mashauriano ya mtu mmoja mmoja. Ni kunzia tarehe 30/7-17/8/2013 kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa nane mchana. 

•Je unapitia majaribu makubwa katika kusaka mafanikio yako?
•Je unasumbuliwa na matatizo ya uzazi yanayokuzuia kupata watoto?
•Je umesubiri miaka mingi bila kuoa au kuolewa
•Je unateseka kusaka ajira wakati vyeti unavyo?
•Je unasumbuliwa na roho ya kukata tamaa kutokana na ugumu wa maisha?
•Je unaota ndoto mbaya za watu waliokufa, kula chakula usingizini,   kukimbizwa na nyoka na wanyama wengine hatari?
•Je majini mahaba yanakutesa na kusambaratisha ndoa yako?
•Je roho ya kutokubalika inakuandama kila mahali unapopita?
•Je biashara yako inaandamwa na mikosi kama vile chuma ulete nahasara zisizo na maelezo?.
 
Acha kuteseka, Mtume Peter Nyaga atakuombea na kukufungua  vifungo hivyo. Usikose 
Fuatilia matukukio katika mtandao www.urejeshotv.blogspot.com

Kwa maombi na ushauri +255 756 863528 au fika kanisani RGC MIRACLE CENTRE Tabata Chang’ombe jijini Dar es Salaam.

Tangazo hili limetengenezwa na Rumafrica na litakuwa katika gazeti la Nyakati na Msemakweli.

KITABU CHA NGUVU YA FEDHA NA UTAJIRI CHAPATIKA RGC TABATA CHANG'OMBE KWA MTUME PETER NYAGA KWA TSH 5000 TU

Kitabu kipya Mtume Peter Nyaga, kimeendelea kuwa kivutio kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam, ambapo idadi kubwa ya watu wanamiminika kila siku kanisani hapo kusaka huku walioko mikoani wakipiga mfululizo siku kukiulizia.
Kwa mujibu wa Mtume Nyaga, kupendwa kwa kitabu hicho kunatokana na mambo muhimu yaliyomo ndani yake ambayo yakizingatiwa lazima maisha ya watu yabadilike.
Ndani ya kitabu hicho kuna masomo kama vile umuhimu wa kufanya biashara, jinsi ya kuchagua miradi au biashara za kufanya na jinsi ya kupata mtaji wa biashara . Pia utajifunza mbinu za kufanikiwa kifedha, kufanikiwa katika ujasiriamali na utengenezaji wa bidhaa mbalimbali.

JIPATIE DVD YA MITUME 8 WAKIHUBIRI KATIKA KONGAMANO LA KUOMBEA AMANI TANZANI, KUMILIKI NA KUTAWALA KWA TSH 10,000
 
Upande wa mbele wa DVD

Upande wa nyuma wa DVD


Cover na sticker imetengenezwa na Rumafrica +255 715 851523








Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...